Biashara Ndani Ya Ajira…

BIASHARA NDANI YA AJIRA.

Je wewe ni mwajiriwa lakini mshahara unaoupata hautoshelezi kuyaendesha maisha yako?

Je umekuwa kwenye ajira kwa miaka mingi, lakini kikubwa ulicho nacho ni madeni na mishahara haikutani?

Je mwajiri wako amekuwa hakuongezi mshahara licha ya gharama za maisha kupanda?

Na je ungependa kuwa na njia ya uhakika ya kukuza kipato chako ili uweze kuyaendesha vizuri maisha yako?

Kama umesema NDIYO kwenye swali lolote hapo juu, basi kuna habari njema kabisa kwako hapa.

Njia moja ya uhakika ya wewe kuongeza kipato chako ili uweze kuyamudu maisha yako,

… ni kuwa na kipato cha ziada badala tu ya kutegemea mshahara wako.

Kuna njia mbalimbali za kutengeneza kipato hicho cha ziada,

… na moja wapo ni kuanzisha biashara ya pembeni huku ukiwa unaendelea na biashara yako.

Najua unajua hili, siyo geni kwako, na huenda umekuwa unafikiria kufanya hivyo lakini kuna vikwazo mbalimbali vinakuzuia.

Au umeshawahi kuanzisha biashara ya pembeni,

…lakini ikafa kwa sababu ulishindwa kuisimamia vizuri kutokana na kazi kukubana.

Zipo changamoto kubwa tano zinazowazuia wengi kuanzisha biashara wakiwa kwenye ajira.

Changamoto ya kwanza ni mtaji,

… wengi wanakwama kwa sababu hawana mtaji wa kuanzisha biashara wanazotaka kuanzisha.

Kama hii ndiyo changamoto yako, basi leo unakwenda kupata majibu ya jinsi ya kuanza biashara bila hata ya mtaji kabisa.

Changamoto ya pili ni wazo sahihi la biashara.

Wengi hawajui ni biashara gani nzuri wanayoweza kufanya.

Hii pia utapata jawabu lake kwa sababu kuna mawazo ambayo wengine wameshayafanyia kazi na yakawa na manufaa kwao.

Changamoto ya tatu ni muda wa kuiendesha biashara, kwa kuwa ajira zinawabana sana watu, muda unakuwa changamoto.

Hapa utajua jinsi ya kuwa na siku mbili ndani ya siku moja.

Changamoto ya nne ni kupata wasaidizi sahihi kwenye biashara hasa kwa kipindi unachokuwa kwenye ajira.

Kupata watu sahihi imekuwa kikwazo kwa wengi, wapo walioamini ndugu wa karibu na wakaishia kuwaangusha.

Hapa unakwenda kujifunza jinsi ya kupata watu sahihi.

Changamoto ya tano ni kujua wakati sahihi wa kuachana na ajira ili uweke nguvu zako zote kwenye biashara.

Wapo wanaowahi kufanya hivyo na baadaye wanajikuta wakilazimika kurudi kwenye ajira na wapo wanaochelewa na kujikuta wakidumaza biashara zao.

 Hapa utajifunza wakati sahihi wa kuacha ajira na kuweka nguvu kwenye biashara.

Kama umekuwa unatamani sana kuanza biashara ukiwa kwenye ajira au umeshaanza na unasuasua,

…basi leo unapata majibu ya uhakika ya changamoto zote unazokutana nazo na hatua za kuchukua.

Majibu hayo yako kwenye kitabu kinachoitwa BIASHARA NDANI YA AJIRA;

…mwongozo sahihi wa kuanzisha na kukuza biashara yako ukiwe kwenye ajira.

Kitabu hiki kina majibu ya kina ya changamoto hizo tano tulizojadili hapo juu pamoja na hatua sahihi za kuchukua ili uweze kujiongezea kipato chako.

Hiki ni kitabu ambacho kila aliye kwenye ajira anapaswa kukisoma,

…kwa sababu kitakupa mwanga mkubwa na njia ya kuelekea kwenye uhuru.

Kama upo kwenye ajira unajua jinsi gani ajira inakupa ukomo, kuanzia kwenye matumizi ya muda wako mpaka kwenye kipato chako.

Kwa kusoma kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA,

…unaanza kutengeneza uhuru wako ili baadaye uachane kabisa na ukomo huo.

Karibu ujipatie nakala yako ya kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA leo.

Thamani Ya Kitabu Ni Zaidi Ya DOLA ($27)  lakini leo utakipata kwa zawadi ya tsh elfu 19,999 (TSHS 19,999) pekee.

 Kupata kitabu hiki tuma meseji inayosomeka “NDANI YA AJIRA” Kwenye WHATSAPP Namba 0752 977 170.

…Na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Zawadi hii ni kwa siku ya leo tu. Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako,

… unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata.

Usiendelee kumlalamikia mwajiri wako kwa kipato kisichotosheleza, umeshamlalamikia sana na hakuna kilicho badilika.

 Amua leo kuchukua hatua ya tofauti, soma kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA na uanzishe biashara itakayokupa uhuru mkubwa.

KUMBUKA; Kutuma Meseji Inayosomeka “NDANI YA AJIRA” Kwenye  WHATSAPP Namba 0752977170.

Kila Lakheri,

Shabiki Yako Namba 1,

AmryRamadhani|CopywriterOfSomaVitabuTanzania|

Karibu, www.t.me/somavitabutanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Related Post