Haya Hapa Maeneo Ma 3 Yatakayokusaidia Kuongeza Ushawishi Wako Zaidi.

Haya Hapa Maeneo Ma 3 Ya Kuzingatia Ili Uongeze Ushawishi Wako Zaidi…

Rafiki Yangu Nani Mwingine Anataka Kuongeza Ushawishi Wake?

Kama Unamjua Muite Kwa Jina Lake.

Na Ikiwa Mtaweza Kuisoma Meseji Hii Fupi Kwa Pamoja Mpaka Mwisho,

…Basi Mtaweza Kuongeza Ushawishi Wenu Mara Dufu Na Thamani Yenu Itapanda.

Lakini mpaka pale tu mtakapozingatia mambo haya matatu mtakayoenda kuyaona sekunde 11 tu zijazo.

Kwahiyo hata kama mmeshindwa kuwashawishi wengine wakubaliane na nyie mara nyingi kiasi gani,

….basi nataka niwaambie kosa siyo lenu kabisa,

…tatizo lipo kwenye kutokuyafanyia kazi mambo haya kwa kina.

Wengi wanalazimisha sana watu wachukue hatua badala ya kuwashawishi hivyo kuanzia sasahivi mkiweza kufanyia kazi mambo haya matatu (3) basi mtaweza kujitofautisha na wao kwa haraka sana.

Rafiki Zangu Nisiwachoshe Fungueni Ukurasa Wa 151 Wa Kitabu Hiki Cha *MJASIRIAMALI MJANJA* Baada Ya Kuisoma Mtakuwa Watu Bora Sana.

Na Kama Bado Hujaletewa Ingia Hapa Sasahivi *https://wa.link/4io71u*

Na Wewe Utaletewa Au Utatumiwa Popote Ulipo.

Na Hii Meseji Imeandikwa Na Rafiki Yako Anayekujali Sana,

Bwana Amir Ramadhani,

Ni |CopywriterOfSomaVitabuTanzania||Sales Consultant|

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Related Post