Hiki Unachoamini Kuhusu Kulipwa Ndiyo Kinakuzuia Kufanikiwa, Soma Hapa Kujua Imani Sahihi Itakayokusaidia Ulipwe Zaidi.

Sio siri tena kwenye hii karne ya 21,

Mambo yamebadilika sana.

Sahau kila kitu ulichowahi kusikia kuhusu kulipwa.

Sasa kuna njia bora ya kulipwa zaidi kuliko ilivyokuwa imezoeleka karne ya 20.

Ni njia ambayo haizungumzwi sana lakini inafanya kazi kwenye hii karne ya 21.

Haijalishi umeajiriwa au umejiajiri,

Inafanya kazi kwenye hali zote mbili.

Ukweli ni kwamba,

Kwa sasa haulipwi kutokana na masaa unayofanya kazi,

Bali unalipwa kulingana na matokeo unayozalisha.

Unapozalisha matokeo makubwa zaidi unalipwa kiasi kikubwa cha fedha.

Unapozalisha matokeo madogo zaidi unalipwa kiasi kidogo cha fedha.

Angalia huu u tofauti hapa chini,

Kuhusu imani walizonazo matajiri na masikini kuhusu kulipwa.

Matajiri huwa wanachagua kulipwa kwa matokeo wanayozalisha na hapo wanazalisha matokeo makubwa zaidi na kulipwa kiasi kikubwa cha fedha.

Masikini wanachagua kulipwa kwa muda wanaotumia kufanya kitu na kwa kuwa muda una ukomo,

Wanajiwekea ukomo kwenye kipato chao.

Matajiri wote wamepata utajiri wao kupitia njia ambazo hazitegemei muda wao.

Kwa mfano kumiliki biashara inayojiendesha yenyewe ,

Kufanya uwekezaji maeneo yanayozalisha na kadhalika.

Kulipwa kwa muda ni kupitia mshahara au huduma binafsi ambazo mtu anatoza gharama kwa muda.

Hakuna mtu amewahi kufikia utajiri mkubwa kwenye maisha yake kwa kutegemea mshahara pekee.

Hata mshahara uwe mkubwa kiasi gani, bado unakuwa na ukomo.

Na mbaya zaidi, kadiri mshahara unavyokuwa mkubwa, ndivyo makato yanavyokuwa makubwa pia.

Kulipwa kwa muda ni kujiwekea ukomo na kanuni ya kwanza na muhimu kwenye fedha ni kuhakikisha huweki ukomo kwenye kipato chako.

Chagua kulipwa kwa matokeo na thamani unayozalisha ambayo haina ukomo,

Badala ya kutaka ulipwe kwa muda ambao una ukomo.

Je, ungependa ulipwe zaidi kwa kile unachofanya?

Kama ni ndio,

Bonyeza Hapa  http://bit.ly/somavitabuapp.

Ujifunze njia na hatua za kuchukua ili ulipwe zaidi.

Utajiri ni mchezo,

Mchezo ambao una kanuni zake na sheria zake,

Na ili uweze kushinda mchezo huu,

 Lazima uzijue kanuni na uzishike sheria.

Haiwezekani kabisa kwa mtu ambaye hajui kanuni za mpira wa miguu,

Hana mazoezi akaenda uwanjani na kushinda.

Wengi wamekuwa wanaingia kwenye mchezo wa utajiri kama vile ni kitu cha kubahatisha,

Hawajui kanuni wala sheria,

Hawana maandalizi na kinachotokea ni kushindwa vibaya sana.

Karibu sana usome EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI,

Ujifunze kwa kina na kuyaelewa maarifa haya muhimu sana kwako,

 Kisha uchukue hatua ili maisha yako yaweze kubadilika, ufike kwenye utajiri, mafanikio na furaha.

JINSI YA KUTUMIA EBOOK YAKO.

EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI inapatikana kwenye app ya SOMA VITABU ambayo inapatikana kwenye mfumo wa ANDROID (PLAY STORE).

Kupata app hiyo fungua kiungo hiki; http://bit.ly/somavitabuapp au nenda moja kwa moja kwenye play store kisha tafuta SOMA VITABU.

Ukishaweka app kwenye kifaa chako (simu au tablet) utakiona kitabu na kufuata mchakato wa kukinunua moja kwa moja kwenye app.

Kupata maelezo zaidi ya jinsi ya kutumia app, kununua na kusoma vitabu, fungua hapa; https://www.kisimachamaarifa.co.tz/somavitabuapp .

Au Piga Simu Namba 0752977170, Kwa Msaada Zaidi.

ZAWADI YA EBOOK.

Rafiki yangu mpendwa,

Kwa kuwa umekuwa unafuatilia mafunzo ninayotoa kwa muda mrefu,

Nakwenda kukupa EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI KAMA ZAWADI.

Hivyo kwa siku hizi chache utaipata EBOOK hii kwa TSH elfu moja(1)  pekee (1,000/=).

EBOOK hii ina thamani ya mamilioni kwako, ila wewe unaenda kuipata sawa na bure kabisa, kwa TSH elfu moja tu.

Lengo langu ni wewe usiwe na sababu yoyote ya kuikosa,

 Kwa sababu nataka sana uyabadili na kuyaboresha maisha yako na maarifa yaliyo kwenye kitabu hiki ndiyo unayahitaji sana.

Chukua hatua sasa rafiki yangu,

Zawadi hii ni ya muda mfupi, bei ya EBOOK hii itakuwa kubwa zaidi baadaye hivyo usikubali kukosa.

Utajiri ni haki na wajibu wako, kama wapo wengine walioweza kufikia utajiri, na wewe pia unaweza kuufikia.

Unachohitaji ni kuijua kanuni sahihi na kuifuata.

EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI ina kanuni hizo, wajibu wako ni kuzijua na kuzifuata na utajiri kwako unakuwa swala la muda tu.

Jipatie kitabu chako sasa kwa bei ya zawadi, fungua; http://bit.ly/somavitabuapp

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Related Post