Jana Umeishika Simu Yako Mara Ngapi? Rafiki Yangu Mkubwa, Je umekuwa unaishika simu yako mara nyingi mpaka unaona imekuwa kero kwako? Je umekuwa unatamani sana upate muda tulivu wa kufanya
Ndoa nyingi zimevunjika ,mahusiano mengi yamezorota, ukaribu nao umepungua. Zama hizi zimekuwa na changamoto ya mahusiano mengi kuvunjika kuliko zama zilizopita. Watu wamekuwa wanalalamika kwamba ndoa za sasa hazidumu na
Hii ndiyo biashara itakayokupa faida ya kudumu. Nina mtaji wa fedha kiasi Fulani, lakini sijui ni biashara gani nifanye? Hili ni swali ambalo linaulizwa na watu wengi. Karibu kila mtu