AUDIO; Mjadala Wa Kitabu So Good They Can’t Ignore You.

Habari msomaji,

Karibu kwenye mjadala wa kitabu kinachoitwa So Good They Can’t Ignore You ambacho kimeandikwa na mwandishi Cal Newport.

Kitabu hiki kimechambuliwa na uchambuzi wake unapatikana kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA.

Katika mjadala huu tunashirikishana yale muhimu ya kujifunza kutoka kwenye kitabu hicho na kuyafanyia kazi.

Bonyeza hapo chini kusikiliza mjadala.

Sikiliza mjadala wa kitabu So Good They Can’t Ignore You

Ili upate nafasi ya kusoma chambuzi za vitabu pamoja na kushiriki mijadala, karibu ujiunge na channel ya SOMA VITABU TANZANIA kwa kufungua www.t.me/somavitabutanzania

Karibu sana.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Related Post