Ubora ukiwa ni tabia mafanikio hujipendekeza yenyewe hivyo usiogope kuanza mchakato wa kuwa bora leo katika kile unachokifanya. Hivi umewahi kukutana na mtu na ukavutiwa jinsi anavyoongea na wateja wake?
Category: Uncategorized
Kwa Watu Ambao Wanataka Kuishinda Hofu Siku Moja.Kwa Watu Ambao Wanataka Kuishinda Hofu Siku Moja.
Wewe Sio Mtabiri Mzuri, Hivyo Acha Kujiogopesha. Mara baada ya sultani wa dubai kuamua kusafiri baharini na baadhi ya wapambe wake. Siku iliyofuata walijumuika kwa pamoja kwa ajili ya kuanza
Jinsi Ya Kuvuka Magumu unayopitia Kwenye Maisha Yako.Jinsi Ya Kuvuka Magumu unayopitia Kwenye Maisha Yako.
Wewe siyo wa kwanza kupitia magumu unayopitia haupo mwenyewe, amka endelea na mapambano. Ilikuwa ni majira ya saa nane mchana ,Msichana akiwa anamwendesha baba yake ambaye aliketi siti ya nyuma.
Wakati Mzuri Wa Kukuza Biashara Yako.Wakati Mzuri Wa Kukuza Biashara Yako.
Katika vipindi vyote ambavyo binadamu wameishi hapa duniani, miaka mingi sana mpaka kufikia sasa, hakuna kipindi kizuri kuingia au kuwa kwenye biashara kama kipindi tunachoishi sasa. Ni upendeleo wa kipekee
Elimu Ya Msingi Ya Biashara Itakayokupa Mafanikio Makubwa Ndani Ya Mwaka Mmoja Kuliko Washindani Wako.Elimu Ya Msingi Ya Biashara Itakayokupa Mafanikio Makubwa Ndani Ya Mwaka Mmoja Kuliko Washindani Wako.
Nenda shule, soma kwa bidii na ufaulu vizuri. Utapata kazi inayokulipa vizuri na utakuwa na maisha mazuri. Huu ulikuwa ushauri maarufu na uliofanya kazi kwenye karne ya 20 na muongo
Njia Rahisi Ya Kukabiliana Na Rafiki Hasi Kwenye Maisha Yake.Njia Rahisi Ya Kukabiliana Na Rafiki Hasi Kwenye Maisha Yake.
Njia Rahisi Itakayokusaidia Kukabiliana Na Rafiki Hasi Kwenye Maisha Yako. Takwimu zinaonesha kwamba, Wastani wa watu wanne (4) unaojihusisha nao kwa siku wana mitazamo hasi. Unaye rafiki yeyote ambaye ni
JIFUNZE HAPA; Jinsi Ya Kuzivuta Fursa Na Kuzitumia Ndani Ya Muda Mfupi.JIFUNZE HAPA; Jinsi Ya Kuzivuta Fursa Na Kuzitumia Ndani Ya Muda Mfupi.
Unakwama Wapi Mpaka Sasa Hujui Jinsi Ya Kuzivuta Fursa? Huzioni fursa lakini wenzako wanaziona na kuzitumia je, unajua tatizo ni nini? Ulichofichwa kwa muda mrefu leo unakwenda kukifahamu na kukitumia
Hisia Huwa Zina Nguvu Kubwa Kwenye Akili Na Miili Yetu, Soma Hapa Kujua Jinsi Ya Kudhibiti Hisia Zako.Hisia Huwa Zina Nguvu Kubwa Kwenye Akili Na Miili Yetu, Soma Hapa Kujua Jinsi Ya Kudhibiti Hisia Zako.
Mtaalaam Confucius, alinukuliwa akisema “Kuacha tabia mbaya ni rahisi leo kuliko kesho”. Yupo sahihi kabisa kwa sababu huwezi kuitegemea kesho hakati leo yenyewe hujaitumia vizuri. Ukishindwa kudhibiti hisia zako leo
Maeneo Muhimu Kwenye Maisha Yetu, Maeneo Ambayo Tunapaswa Kuyapa Kipaumbele Kwenye Muda Wetu.Maeneo Muhimu Kwenye Maisha Yetu, Maeneo Ambayo Tunapaswa Kuyapa Kipaumbele Kwenye Muda Wetu.
Mambo mengi, muda mchache ni kauli maarufu sana enzi hizi. Mambo yakufanya yanaongezeka kila siku, lakini muda wa kufanya mambo hayo ni ule ule. Na hapa ndipo wengi wanapopata msongo.
Acha Kujilinganisha Na Wengine Chukua Hatua Sasa.Acha Kujilinganisha Na Wengine Chukua Hatua Sasa.
Mitandao ya kijamii ambayo ni moja ya njia kuu ya kusambaza habari imechochea sana kuongezeka kwa msongo wa mawazo kwa watu wengi. Hii ni kwasababu mitandao hiyo imekuwa inawachochea watu