Mtaalaam Confucius, alinukuliwa akisema “Kuacha tabia mbaya ni rahisi leo kuliko kesho”. Yupo sahihi kabisa kwa sababu huwezi kuitegemea kesho hakati leo yenyewe hujaitumia vizuri. Ukishindwa kudhibiti hisia zako leo
Kama Unataka Kuvunja Tabia Fulani Au Uraibu, Usijiruhusu Kuwa Kwenye Hali Hii Ya Kufanya Kwa Mazoea.Kama Unataka Kuvunja Tabia Fulani Au Uraibu, Usijiruhusu Kuwa Kwenye Hali Hii Ya Kufanya Kwa Mazoea.
Siku moja mwandishi wa vitabu Tom Corley alifanya utafiti wa tabia za kila siku za matajiri 233 na pia akachunguza tabia za kila siku za watu maskini wapatao 128. Alichogundua
Je Tunakwama Wapi? Iweje Tujue Kilicho Sahihi Kufanya, Lakini Hatukifanyi?Je Tunakwama Wapi? Iweje Tujue Kilicho Sahihi Kufanya, Lakini Hatukifanyi?
Ni nani asiyejua kwamba ukila vyakula vya wanga kwa wingi unaongeza uzito na kukaribisha magonjwa sugu kama presha na kisukari? Ni nani asiyejua kuvuta sigara kuna madhara makubwa kiafya? Ni
Maeneo Muhimu Kwenye Maisha Yetu, Maeneo Ambayo Tunapaswa Kuyapa Kipaumbele Kwenye Muda Wetu.Maeneo Muhimu Kwenye Maisha Yetu, Maeneo Ambayo Tunapaswa Kuyapa Kipaumbele Kwenye Muda Wetu.
Mambo mengi, muda mchache ni kauli maarufu sana enzi hizi. Mambo yakufanya yanaongezeka kila siku, lakini muda wa kufanya mambo hayo ni ule ule. Na hapa ndipo wengi wanapopata msongo.
Acha Kujilinganisha Na Wengine Chukua Hatua Sasa.Acha Kujilinganisha Na Wengine Chukua Hatua Sasa.
Mitandao ya kijamii ambayo ni moja ya njia kuu ya kusambaza habari imechochea sana kuongezeka kwa msongo wa mawazo kwa watu wengi. Hii ni kwasababu mitandao hiyo imekuwa inawachochea watu
Kama Hutajifunza Chochote Mwaka Huu, Basi Jifunze Umuhimu Wa Kuwa Na Muda Wa Peke Yako.Kama Hutajifunza Chochote Mwaka Huu, Basi Jifunze Umuhimu Wa Kuwa Na Muda Wa Peke Yako.
Tangu enzi na enzi, binadamu wamekuwa wakipata maono makubwa na ya tofauti , kupata suluhisho la matatizo makubwa na hata kujitambua wao wenyewe baada ya kupata muda wa kuwa peke
Unakaribia Kusoma kitu Muhimu Sana Kwako Kuhusu Teknolojia Mpya.Unakaribia Kusoma kitu Muhimu Sana Kwako Kuhusu Teknolojia Mpya.
Kabla ya kuendelea , tujikumbushe kidogo walicho ki sema wahenga. “kulijua tatizo ni nusu ya kulitatua.” Kwa kuwa umekuwa unatumia simu yako kila siku , ni rahisi kuamini kwamba unafanya
Nafasi 10 Pekee Zimebaki Kupata Basic Financial Education (ELIMU YA MSINGI YA FEDHA) Chukua Hatua Sasa Hivi.Nafasi 10 Pekee Zimebaki Kupata Basic Financial Education (ELIMU YA MSINGI YA FEDHA) Chukua Hatua Sasa Hivi.
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 nilikuwa nina tabia ya kivivu ya kusema “ NITAFANYA KESHO”. Niliendelea na hiyo tabia mpaka pale nilipokutana na hii kauli ya ushindi inayosema. “Kesho ndio
Maisha Yako Hayapaswi Kuwa Magumu Kama Yalivyo Sasa , Soma Hapa Ujue Njia Sahihi Ya Kukutoa Kwenye Umaskini.Maisha Yako Hayapaswi Kuwa Magumu Kama Yalivyo Sasa , Soma Hapa Ujue Njia Sahihi Ya Kukutoa Kwenye Umaskini.
Alisikika Akisema, Kuzaliwa Maskini Siyo Kosa Lako, Ila… Tajiri Bill Gates, amewahi kunukuliwa akisema; “Kuzaliwa Maskini Siyo Kosa Lako”. Lakini hakuishia hapo, akaendelea kusema ; “ Lakini Ukifa Maskini, Basi
Maisha Yako Hayapaswi Kuwa Magumu Kama Yalivyo Sasa, Soma Hapa Ujue Njia Sahihi Ya Kukutoa Kwenye Umaskini.Maisha Yako Hayapaswi Kuwa Magumu Kama Yalivyo Sasa, Soma Hapa Ujue Njia Sahihi Ya Kukutoa Kwenye Umaskini.
Maisha Yako Hayapaswi Kuwa Magumu Kama Yalivyo Sasa , Soma Hapa Ujue Njia Sahihi Ya Kukutoa Kwenye Umaskini. Alisikika Akisema, Kuzaliwa Maskini Siyo Kosa Lako, Ila… Tajiri Bill Gates, amewahi